CRM Financial Services

CRM Financial Services

Share

Tunatoa mradi maalumu wa mikopo ya viwanja na mashamba kwa wanavyuo Tanzania. Pia tunatoa mikopo ya mifugo na furniture kwa watu wote.

Tunatoa huduma za mikopo ya viwanja/mashamba, mifugo na furniture kwa watu wote. Pia tuna mradi maalumu wa kutoa huduma hizo kwa wanavyuo.

Photos 05/01/2018

Mradi Mpya wa Viwanja Makurunge!!!

Kwa Wanavyuo wasiliana nasi kwa namba 0766 860936 ili kupata ofa maalumu ya wanavyuo ya malipo ya kila mwezi bila malipo ya awali.

Safari za kuona viwanja hufanyika kila Jumamosi.

Photos from CRN Foundation's post 04/01/2018

Uongozi na wafanyakazi wa kampuni za VKP Investment for YOUTH na CRM Financial Services, chini ya kampuni yao ya CRN Foundation wakitembelea na kutoa msaada kwenye kituo cha kulelea watoto cha Malaika Kids kilichopo Mwananyamala.

CRN Foundation inahusika na miradi ya kutoa mikopo ya ardhi na kilimo kwa vikundi pamoja na kuendesha miradi ya kusaidia jamii kwa niaba ya Kampuni za VKP Investment na CRM Financial Services.

Photos 31/12/2017

Education is the key to success.

CRM Financial Services is the key to graduation with a home and financial stability.

Set your goals right this new year to graduate with Honors and a Home.

We Wish You a Happy New Year!!!

Photos from CRM Financial Services's post 20/12/2017

Ardhi University tumewafikia. Tuko hapa chuoni leo na kesho (20 & 21 Desemba) kuwaelezea fursa ya kipekee ya mkopo wa viwanja na mashamba.

Njoo tuzungumze.

Photos 19/12/2017

Leo tuko CBE Dar es Salaam Campus. Karibu uje kusikia ofa tuliyonayo ya mikopo ya viwanja na mashamba kwa wanavyuo.

Photos 19/12/2017

Mikopo Inapatikana kwa:
- Wanavyuo kuanzia mwaka wa pili wa chuo.
- Malipo Miaka 6
- Haina Malipo ya Awali

Kwa Wanavyuo wenye Usajili Halali kutoka chuo chochote Tanzania.

Gharama ya Kujisajili Tshs 50,000/-

Kwa Maelezo Zaidi Wasiliana nasi kwa 0766 860 936

Photos 14/12/2017

CRM Financial Services inapenda kutambulisha mradi wake mpya ambao ni maalumu kwa wanavyuo.

Tunatoa mikopo ya viwanja/mashamba, mifugo na samani bila ya riba wala dhamana.

Kwa maelezo zaidi unaweza kutupigia simu 0766 860 936

"Where Dreams Get Wings"

Want your business to be the top-listed Accountant in Dar es Salaam?

Click here to claim your Sponsored Listing.

Location

Category

Telephone

Address


Ilala Boma
Dar Es Salaam